2 Timotheo 2:11 - Swahili Revised Union Version11 Ni neno la kuaminiwa. Kwa maana, Kama tukifa pamoja naye, tutaishi pamoja naye pia; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Usemi huu ni wa kweli: “Ikiwa tulikufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Usemi huu ni wa kweli: “Ikiwa tulikufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Usemi huu ni wa kweli: “Ikiwa tulikufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Hili ni neno la kuaminiwa: Kama tumekufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Hili ni neno la kuaminiwa: Kwa maana kama tumekufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Ni neno la kuaminiwa. Kwa maana, Kama tukifa pamoja naye, tutaishi pamoja naye pia; Tazama sura |