2 Samueli 6:4 - Swahili Revised Union Version4 Wakalitoa katika nyumba ya Abinadabu iliyoko kilimani, pamoja na sanduku la BWANA; na huyo Ahio akatangulia mbele ya sanduku. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 likiwa na sanduku hilo la Mungu, naye Ahio akiwa anatangulia mbele ya sanduku hilo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 likiwa na sanduku hilo la Mungu, naye Ahio akiwa anatangulia mbele ya sanduku hilo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 likiwa na sanduku hilo la Mungu, naye Ahio akiwa anatangulia mbele ya sanduku hilo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 likiwa na Sanduku la Mungu juu yake, naye Ahio alikuwa anatembea akiwa mbele yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 likiwa na Sanduku la Mungu juu yake, naye Ahio alikuwa anatembea akiwa mbele yake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Wakalitoa katika nyumba ya Abinadabu iliyoko kilimani, pamoja na sanduku la BWANA; na huyo Ahio akatangulia mbele ya sanduku. Tazama sura |