Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 6:4 - Swahili Revised Union Version

4 Wakalitoa katika nyumba ya Abinadabu iliyoko kilimani, pamoja na sanduku la BWANA; na huyo Ahio akatangulia mbele ya sanduku.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 likiwa na sanduku hilo la Mungu, naye Ahio akiwa anatangulia mbele ya sanduku hilo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 likiwa na sanduku hilo la Mungu, naye Ahio akiwa anatangulia mbele ya sanduku hilo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 likiwa na sanduku hilo la Mungu, naye Ahio akiwa anatangulia mbele ya sanduku hilo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 likiwa na Sanduku la Mungu juu yake, naye Ahio alikuwa anatembea akiwa mbele yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 likiwa na Sanduku la Mungu juu yake, naye Ahio alikuwa anatembea akiwa mbele yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Wakalitoa katika nyumba ya Abinadabu iliyoko kilimani, pamoja na sanduku la BWANA; na huyo Ahio akatangulia mbele ya sanduku.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 6:4
3 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaliweka sanduku la Mungu juu ya gari jipya, wakalitoa katika nyumba ya Abinadabu, iliyoko kilimani; nao Uza na Ahio wana wa Abinadabu wakaliendesha lile gari jipya.


Wakalipandisha sanduku la Mungu juu ya gari jipya kutoka nyumba ya Abinadabu; na Uza na Ahio wakaliendesha lile gari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo