Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 6:15 - Swahili Revised Union Version

15 Basi Daudi na nyumba yote ya Israeli wakalileta sanduku la BWANA kwa shangwe, na kwa sauti ya tarumbeta.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Hivyo, yeye na Waisraeli wote walilipeleka sanduku la Mwenyezi-Mungu hadi mjini mwa Daudi kwa shangwe na sauti kubwa ya tarumbeta.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Hivyo, yeye na Waisraeli wote walilipeleka sanduku la Mwenyezi-Mungu hadi mjini mwa Daudi kwa shangwe na sauti kubwa ya tarumbeta.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Hivyo, yeye na Waisraeli wote walilipeleka sanduku la Mwenyezi-Mungu hadi mjini mwa Daudi kwa shangwe na sauti kubwa ya tarumbeta.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 wakati yeye na nyumba yote ya Israeli walipopandisha Sanduku la Mwenyezi Mungu kwa shangwe na sauti za tarumbeta.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 wakati yeye na nyumba yote ya Israeli walipopandisha Sanduku la bwana kwa shangwe na sauti za tarumbeta.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Basi Daudi na nyumba yote ya Israeli wakalileta sanduku la BWANA kwa shangwe, na kwa sauti ya tarumbeta.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 6:15
16 Marejeleo ya Msalaba  

Daudi akacheza mbele za BWANA kwa nguvu zake zote; na Daudi alikuwa amevaa naivera ya kitani.


Ikawa, sanduku la BWANA lilipoingia mji wa Daudi, Mikali binti Sauli, akachungulia dirishani, akamwona mfalme Daudi akirukaruka na kucheza mbele za BWANA; akamdharau moyoni mwake.


Kisha Daudi akamwambia mkuu wa Walawi, kwamba awaagize ndugu zao waimbaji, pamoja na vyombo vyao vya kupigia ngoma, vinanda, na vinubi, na matoazi, wavipige na kupaza sauti kwa furaha.


Basi Daudi, na wazee wa Israeli, na makamanda wa maelfu, wakaenda, ili kulipandisha sanduku la Agano la BWANA kutoka nyumbani mwa Obed-edomu kwa furaha kuu;


Ndivyo Israeli wote walivyolipandisha sanduku la Agano la BWANA kwa shangwe na kwa sauti ya tarumbeta, na kwa baragumu, na kwa matoazi, wakipiga sauti kuu kwa vinanda na vinubi.


Adui zake nitawavika aibu, Bali juu yake taji lake litasitawi.


Watauwa na waushangilie utukufu, Waimbe kwa sauti kuu vitandani mwao.


Msifuni kwa mvumo wa baragumu; Msifuni kwa kinanda na kinubi;


Enyi watu wote, pigeni makofi, Mpigieni Mungu kelele kwa Sauti ya shangwe.


Naye mkuu atakapoingia, ataingia katikati yao, nao, watakapotoka, watatoka wote pamoja.


Walakini nitamfurahia BWANA Nitamshangilia Mungu wa wokovu wangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo