Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 4:3 - Swahili Revised Union Version

3 na hao Wabeerothi walikimbia kwenda Gitaimu, ndipo wanapokaa kama wageni hata hivi leo.)

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Wakazi wa Be-erothi walikimbilia Gitaimu, na wameishi huko kama wageni hadi leo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Wakazi wa Be-erothi walikimbilia Gitaimu, na wameishi huko kama wageni hadi leo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Wakazi wa Be-erothi walikimbilia Gitaimu, na wameishi huko kama wageni hadi leo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 kwa sababu watu wa Beerothi walikimbilia huko Gitaimu na wameishi huko kama wageni hadi leo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 kwa sababu watu wa Beerothi walikimbilia huko Gitaimu na wameishi huko kama wageni mpaka siku hii ya leo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 na hao Wabeerothi walikimbia kwenda Gitaimu, ndipo wanapokaa kama wageni hata hivi leo.)

Tazama sura Nakili




2 Samueli 4:3
3 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yonathani, mwana wa Sauli alikuwa na mwana aliyekuwa na kilema cha miguu. Alikuwa na umri wa miaka mitano, habari za Sauli na Yonathani zilipofika Yezreeli, na yaya wake akamchukua akakimbia ikawa, alipokimbia kwa haraka, huyo mtoto akaanguka, akawa kilema. Na jina lake aliitwa Mefiboshethi.


Hazori, Rama, Gitaimu;


Kisha watu wa Israeli waliokuwa upande wa pili wa bonde lile, na ng'ambo ya Yordani, walipoona ya kuwa watu wa Israeli wamekimbia, na ya kuwa Sauli na wanawe wamekufa, wakaiacha miji yao, wakakimbia; nao Wafilisti wakaenda wakakaa humo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo