2 Samueli 3:9 - Swahili Revised Union Version9 Mungu amfanyie Abneri vivyo hivyo, na kuzidi, nisipomtendea Daudi kama vile BWANA alivyomwapia; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Mungu aniue ikiwa sitatekeleza yote ambayo Mwenyezi-Mungu alimwapia Daudi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Mungu aniue ikiwa sitatekeleza yote ambayo Mwenyezi-Mungu alimwapia Daudi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Mungu aniue ikiwa sitatekeleza yote ambayo Mwenyezi-Mungu alimwapia Daudi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Mungu na amwadhibu Abneri vikali zaidi ikiwa sitafanya kwa ajili ya Daudi kile Mwenyezi Mungu alichomwahidi kwa kiapo, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Mungu na amshughulikie Abneri, tena kwa ukali, ikiwa sitafanya kwa ajili ya Daudi kile bwana alichomwahidi kwa kiapo, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Mungu amfanyie Abneri vivyo hivyo, na kuzidi, nisipomtendea Daudi kama vile BWANA alivyomwapia; Tazama sura |