2 Samueli 3:36 - Swahili Revised Union Version36 Wakaangalia watu wote, yakawa mema machoni pao; kama yalivyokuwa mema machoni pao yote aliyoyatenda mfalme. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema36 Watu wote waliyaona mambo hayo, nao walipendezwa; kama vile kila kitu alichofanya mfalme kilivyowapendeza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND36 Watu wote waliyaona mambo hayo, nao walipendezwa; kama vile kila kitu alichofanya mfalme kilivyowapendeza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza36 Watu wote waliyaona mambo hayo, nao walipendezwa; kama vile kila kitu alichofanya mfalme kilivyowapendeza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu36 Watu wote wakaona hilo nao ikawapendeza; naam, kila kitu mfalme alichofanya kiliwapendeza. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu36 Watu wote wakaona hilo nao ikawapendeza; naam, kila kitu mfalme alichofanya kiliwapendeza. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI36 Wakaangalia watu wote, yakawa mema machoni pao; kama yalivyokuwa mema machoni pao yote aliyoyatenda mfalme. Tazama sura |