2 Samueli 3:20 - Swahili Revised Union Version20 Basi Abneri akamwendea Daudi huko Hebroni, akiwa na watu ishirini. Daudi akamfanyia karamu Abneri, na watu wote waliokuwa pamoja naye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Abneri alipomwendea Daudi, alikuwa na watu ishirini, Daudi aliwafanyia karamu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Abneri alipomwendea Daudi, alikuwa na watu ishirini, Daudi aliwafanyia karamu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Abneri alipomwendea Daudi, alikuwa na watu ishirini, Daudi aliwafanyia karamu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Abneri, aliyekuwa na watu ishirini pamoja naye, alipokuja kwa Daudi huko Hebroni, Daudi akamwandalia karamu pamoja na watu wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Wakati Abneri aliyekuwa na watu ishirini pamoja naye, alipokuja kwa Daudi huko Hebroni, Daudi akamwandalia karamu pamoja na watu wake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Basi Abneri akamwendea Daudi huko Hebroni, akiwa na watu ishirini. Daudi akamfanyia karamu Abneri, na watu wote waliokuwa pamoja naye. Tazama sura |