Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 3:2 - Swahili Revised Union Version

2 Naye Daudi akazaliwa wana huko Hebroni; mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Amnoni, wa Ahinoamu wa Yezreeli;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Watoto wa kiume aliozaliwa Daudi huko Hebroni walikuwa: Amnoni, mzaliwa wake wa kwanza, mama yake alikuwa Ahinoamu kutoka Yezreeli;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Watoto wa kiume aliozaliwa Daudi huko Hebroni walikuwa: Amnoni, mzaliwa wake wa kwanza, mama yake alikuwa Ahinoamu kutoka Yezreeli;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Watoto wa kiume aliozaliwa Daudi huko Hebroni walikuwa: Amnoni, mzaliwa wake wa kwanza, mama yake alikuwa Ahinoamu kutoka Yezreeli;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Wana walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Amnoni mwana wa Ahinoamu wa Yezreeli;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Wana walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Amnoni mwana wa Ahinoamu wa Yezreeli;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Naye Daudi akazaliwa wana huko Hebroni; mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Amnoni, wa Ahinoamu wa Yezreeli;

Tazama sura Nakili




2 Samueli 3:2
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yule tajiri alikuwa na kondoo na ng'ombe wengi sana;


Hata ikawa mwisho wa miaka minne, Absalomu akamwambia mfalme, Tafadhali uniache niende nikaondoe nadhiri yangu, niliyomwekea BWANA huko Hebroni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo