Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 3:15 - Swahili Revised Union Version

15 Basi Ishboshethi akatuma watu, akamnyang'anya Paltieli, mwana wa Laisha, mumewe, mwanamke huyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Basi, Ishboshethi alituma watu wakamchukue Mikali kutoka kwa mumewe, Paltieli mwana wa Laishi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Basi, Ishboshethi alituma watu wakamchukue Mikali kutoka kwa mumewe, Paltieli mwana wa Laishi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Basi, Ishboshethi alituma watu wakamchukue Mikali kutoka kwa mumewe, Paltieli mwana wa Laishi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Kwa hiyo Ish-Boshethi akatoa amri kwamba Mikali achukuliwe kutoka kwa Paltieli mumewe, mwana wa Laishi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Kwa hiyo Ish-Boshethi akatoa amri kwamba Mikali achukuliwe kutoka kwa Paltieli mumewe, mwana wa Laishi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Basi Ishboshethi akatuma watu, akamnyang'anya Paltieli, mwana wa Laisha, mumewe, mwanamke huyo.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 3:15
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Abneri, mwana wa Neri, kamanda wa jeshi la Sauli, alikuwa amemtwaa Ishboshethi, mwana wa Sauli, na kumvusha na kumpeleka Mahanaimu;


Basi Daudi akatuma wajumbe kwa Ishboshethi, mwana wa Sauli, kusema, Nipe mke wangu Mikali, niliyemposa kwa govi mia moja za Wafilisti.


Huyo mumewe akafuatana naye, huku akilia, akamfuata mpaka Bahurimu. Ndipo Abneri akamwambia, Haya, rudi. Naye akarudi.


Na katika kabila la wana wa Isakari, mkuu, Paltieli mwana wa Azani.


Lakini Sauli alikuwa amemposa Mikali, binti yake aliyekuwa mkewe Daudi, kwa Palti, mwana wa Laisha aliyekuwa mtu wa Galimu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo