2 Samueli 2:17 - Swahili Revised Union Version17 Vita vile vilikuwa vikali sana siku ile; naye Abneri akashindwa, na watu wa Israeli, mbele ya watumishi wa Daudi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Vita vya siku hiyo vilikuwa vikali. Abneri na watu wa Israeli walipigwa vibaya na watu wa Daudi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Vita vya siku hiyo vilikuwa vikali. Abneri na watu wa Israeli walipigwa vibaya na watu wa Daudi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Vita vya siku hiyo vilikuwa vikali. Abneri na watu wa Israeli walipigwa vibaya na watu wa Daudi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Siku hiyo vita vilikuwa vikali sana, naye Abneri na Waisraeli wakashindwa na watumishi wa Daudi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Siku hiyo vita vilikuwa vikali sana, naye Abneri na watu wa Israeli wakashindwa na watu wa Daudi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI17 Vita vile vilikuwa vikali sana siku ile; naye Abneri akashindwa, na watu wa Israeli, mbele ya watumishi wa Daudi. Tazama sura |