2 Samueli 2:11 - Swahili Revised Union Version11 Na wakati Daudi alipotawala Hebroni juu ya nyumba ya Yuda ulikuwa miaka saba na miezi sita. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Daudi alikuwa mfalme wa kabila la Yuda kwa muda wa miaka saba na nusu, makao yake yalikuwa huko Hebroni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Daudi alikuwa mfalme wa kabila la Yuda kwa muda wa miaka saba na nusu, makao yake yalikuwa huko Hebroni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Daudi alikuwa mfalme wa kabila la Yuda kwa muda wa miaka saba na nusu, makao yake yalikuwa huko Hebroni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Muda ambao Daudi alikuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda huko Hebroni ilikuwa miaka saba na miezi sita. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Muda ambao Daudi alikuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda huko Hebroni ilikuwa miaka saba na miezi sita. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Na wakati Daudi alipotawala Hebroni juu ya nyumba ya Yuda ilikuwa miaka saba na miezi sita. Tazama sura |