Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 2:11 - Swahili Revised Union Version

11 Na wakati Daudi alipotawala Hebroni juu ya nyumba ya Yuda ulikuwa miaka saba na miezi sita.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Daudi alikuwa mfalme wa kabila la Yuda kwa muda wa miaka saba na nusu, makao yake yalikuwa huko Hebroni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Daudi alikuwa mfalme wa kabila la Yuda kwa muda wa miaka saba na nusu, makao yake yalikuwa huko Hebroni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Daudi alikuwa mfalme wa kabila la Yuda kwa muda wa miaka saba na nusu, makao yake yalikuwa huko Hebroni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Muda ambao Daudi alikuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda huko Hebroni ilikuwa miaka saba na miezi sita.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Muda ambao Daudi alikuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda huko Hebroni ilikuwa miaka saba na miezi sita.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Na wakati Daudi alipotawala Hebroni juu ya nyumba ya Yuda ilikuwa miaka saba na miezi sita.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 2:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

(Huyo Ishboshethi, mwana wa Sauli, alikuwa na umri wa miaka arubaini alipoanza kutawala juu ya Israeli, akatawala miaka miwili.) Lakini nyumba ya Yuda waliandamana na Daudi.


Na siku alizotawala Daudi juu ya Israeli zilikuwa miaka arubaini; huko Hebroni alitawala miaka saba, na katika Yerusalemu akatawala miaka thelathini na mitatu.


Na wakati aliotawala juu ya Israeli, ulikuwa miaka arubaini; miaka saba alitawala Hebroni, na miaka thelathini na mitatu akatawala Yerusalemu.


Sita alizaliwa huko Hebroni; na huko akatawala miaka saba na miezi sita; na huko Yerusalemu akatawala miaka thelathini na mitatu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo