Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 18:30 - Swahili Revised Union Version

30 Naye mfalme akasema, Geuka, usimame hapa. Akageuka, akasimama.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Mfalme akasema, “Kaa kando, na usimame hapo.” Basi, Ahimaasi akaenda kando na kusimama kimya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Mfalme akasema, “Kaa kando, na usimame hapo.” Basi, Ahimaasi akaenda kando na kusimama kimya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Mfalme akasema, “Kaa kando, na usimame hapo.” Basi, Ahimaasi akaenda kando na kusimama kimya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Mfalme akasema, “Simama kando na usubiri hapa.” Basi akasogea kando na kusimama hapo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Mfalme akasema, “Simama kando na usubiri hapa.” Basi akasogea kando na kusimama hapo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Naye mfalme akasema, Geuka, usimame hapa. Akageuka, akasimama.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 18:30
2 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme akauliza, Je! Yule kijana, Absalomu, yuko salama? Ahimaasi akajibu, Yoabu aliponituma mimi mtumishi wa mfalme, mimi mtumishi wako, niliona kishindo kikubwa, lakini sikujua sababu yake.


Na tazama, yule Mkushi akafika; Mkushi akasema, Nina habari kwa bwana wangu mfalme; kwa maana BWANA amekulipizia kisasi leo juu ya hao wote walioinuka kupigana nawe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo