2 Samueli 18:15 - Swahili Revised Union Version15 Kisha vijana kumi, waliomchukulia Yoabu silaha zake wakamzunguka, wakampiga Absalomu, na kumwua. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Kisha, vijana kumi waliombebea silaha Yoabu, wakaja kumzunguka Absalomu, wakampiga na kumwua. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Kisha, vijana kumi waliombebea silaha Yoabu, wakaja kumzunguka Absalomu, wakampiga na kumwua. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Kisha, vijana kumi waliombebea silaha Yoabu, wakaja kumzunguka Absalomu, wakampiga na kumwua. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Nao wabeba silaha kumi wa Yoabu wakamzunguka Absalomu, wakampiga na kumuua. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Nao wabeba silaha kumi wa Yoabu wakamzunguka Absalomu, wakampiga na kumuua. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Kisha vijana kumi, waliomchukulia Yoabu silaha zake wakamzunguka, wakampiga Absalomu, na kumwua. Tazama sura |