Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 18:13 - Swahili Revised Union Version

13 Na tena, kama ningaliitendea roho yake kwa hila; (wala hapana neno lolote liwezalo kufichwa mbele ya mfalme); ndipo wewe mwenyewe ungalijitenga.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Kwa upande mwingine, kama ningemtendea kwa hila (na hakuna lolote linalofichika kwa mfalme) wewe mwenyewe ungeniruka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kwa upande mwingine, kama ningemtendea kwa hila (na hakuna lolote linalofichika kwa mfalme) wewe mwenyewe ungeniruka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kwa upande mwingine, kama ningemtendea kwa hila (na hakuna lolote linalofichika kwa mfalme) wewe mwenyewe ungeniruka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Nami kama ningekuwa nimemtendea kwa hila, na hakuna lolote linalofichika kwa mfalme, wewe mwenyewe ungejitenga nami.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Nami kama ningekuwa nimemtendea kwa hila, na hakuna lolote linalofichika kwa mfalme, wewe mwenyewe ungejitenga nami.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Na tena, kama ningaliitendea roho yake kwa hila; (wala hapana neno lolote liwezalo kufichwa mbele ya mfalme); ndipo wewe mwenyewe ungalijitenga.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 18:13
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wala hakuna kiumbe kisichokuwa wazi mbele zake, maana vitu vyote ni tupu na kuwekwa wazi machoni pake yeye ambaye tunapaswa kuwajibika kwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo