Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 15:9 - Swahili Revised Union Version

9 Naye mfalme akamwambia, Nenda kwa amani. Basi akaondoka, akaenda Hebroni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Mfalme akamwambia, “Basi, nenda kwa amani.” Absalomu akaondoka kwenda Hebroni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Mfalme akamwambia, “Basi, nenda kwa amani.” Absalomu akaondoka kwenda Hebroni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Mfalme akamwambia, “Basi, nenda kwa amani.” Absalomu akaondoka kwenda Hebroni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Mfalme akamwambia, “Nenda kwa amani.” Hivyo akaenda Hebroni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Mfalme akamwambia, “Enenda kwa amani.” Hivyo akaenda Hebroni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Naye mfalme akamwambia, Nenda kwa amani. Basi akaondoka, akaenda Hebroni.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 15:9
5 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Absalomu akatuma wapelelezi katika kabila zote za Israeli kusema, Mara mtakaposikia sauti ya tarumbeta, ndipo mtakaposema Absalomu anatawala huko Hebroni.


Maana mimi mtumishi wako niliweka nadhiri hapo nilipokuwa nikikaa Geshuri katika Shamu, nikasema, Kama BWANA akinirudisha Yerusalemu kweli, ndipo nitamtumikia BWANA.


Kisha Yoshua akakwea kutoka hapo Egloni, na Israeli wote pamoja naye, hadi wakafika Hebroni; nao wakapigana nao;


Ndipo Eli akajibu, akasema, Nenda kwa amani; na Mungu wa Israeli akujalie haja yako uliyomwomba.


Basi Daudi akapokea mkononi mwake vitu vile alivyomletea; akamwambia, Haya! Kwea kwa amani kwenda nyumbani kwako; tazama, nimeisikiliza sauti yako, nami nimelikubali ombi lako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo