Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 15:35 - Swahili Revised Union Version

35 Je! Hawako Sadoki na Abiathari, makuhani, pamoja nawe huko? Basi itakuwa, kila neno utakalolisikia katika jumba la mfalme, utawaambia Sadoki na Abiathari, makuhani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Makuhani Sadoki na Abiathari wako pamoja nawe mjini! Basi, chochote utakachosikia kutoka nyumbani kwa mfalme, waambie makuhani Sadoki na Abiathari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Makuhani Sadoki na Abiathari wako pamoja nawe mjini! Basi, chochote utakachosikia kutoka nyumbani kwa mfalme, waambie makuhani Sadoki na Abiathari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Makuhani Sadoki na Abiathari wako pamoja nawe mjini! Basi, chochote utakachosikia kutoka nyumbani kwa mfalme, waambie makuhani Sadoki na Abiathari.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Je, makuhani Sadoki na Abiathari hawatakuwa pamoja nawe? Waambie lolote utakalosikia katika jumba la mfalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Je, makuhani Sadoki na Abiathari hawatakuwa pamoja nawe? Waambie lolote utakalosikia katika jumba la mfalme.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

35 Je! Hawako Sadoki na Abiathari, makuhani, pamoja nawe huko? Basi itakuwa, kila neno utakalolisikia katika jumba la mfalme, utawaambia Sadoki na Abiathari, makuhani.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 15:35
2 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Yonathani na Ahimaasi walikuwa wakikaa karibu na Enrogeli; na mjakazi mmoja alikuwa akienda na kuwapa habari; ndipo wakamwambie mfalme Daudi; maana ilikuwa lazima wasionekane wakiingia mjini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo