2 Samueli 15:13 - Swahili Revised Union Version13 Mjumbe akamfikia Daudi, akasema, Mioyo ya watu wa Israeli inashikamana na Absalomu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Mjumbe fulani alipomwendea Daudi na kumwambia, “Watu wa Israeli wamevutwa na Absalomu!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Mjumbe fulani alipomwendea Daudi na kumwambia, “Watu wa Israeli wamevutwa na Absalomu!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Mjumbe fulani alipomwendea Daudi na kumwambia, “Watu wa Israeli wamevutwa na Absalomu!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Mjumbe akaja na kumwambia Daudi, “Mioyo ya watu wa Israeli inaambatana na Absalomu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Mjumbe akaja na kumwambia Daudi, “Mioyo ya watu wa Israeli inaambatana na Absalomu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Mjumbe akamfikia Daudi, akasema, Mioyo ya watu wa Israeli inashikamana na Absalomu. Tazama sura |