Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 14:5 - Swahili Revised Union Version

5 Mfalme akamwuliza, Una nini? Naye akajibu, Hakika ni mjane mimi, niliyefiwa na mume wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Mfalme akamwambia, “Una shida gani?” Yule mwanamke akajibu, “Nasikitika, mimi ni mjane, mume wangu amekufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Mfalme akamwambia, “Una shida gani?” Yule mwanamke akajibu, “Nasikitika, mimi ni mjane, mume wangu amekufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Mfalme akamwambia, “Una shida gani?” Yule mwanamke akajibu, “Nasikitika, mimi ni mjane, mume wangu amekufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Mfalme akamuuliza, “Una shida gani?” Akamwambia, “Mimi ni mjane, mume wangu amekufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Mfalme akamuuliza, “Una shida gani?” Akamwambia, “Mimi ni mjane hasa, mume wangu amekufa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Mfalme akamwuliza, Una nini? Naye akajibu, Hakika ni mjane mimi, niliyefiwa na mume wangu.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 14:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasikia sauti ya kijana. Malaika wa Mungu akamwita Hajiri kutoka mbinguni, akamwambia, Una nini, Hajiri? Usiogope, maana Mungu amesikia sauti ya kijana huko aliko.


Akaondoka, akaenda zake, akavua utaji wake, na kuvaa mavazi ya ujane wake.


Naye yule mwanamke wa Tekoa aliponena na mfalme, akaanguka kifudifudi chini, akamsujudia, akasema, Nisaidie, Ee mfalme.


Nami mjakazi wako nilikuwa na wana wawili, na hao wawili wakashindana uwandani, wala hapakuwa na mtu wa kuwaamua, lakini mmoja akampiga mwenzake, akamwua.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo