Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 14:23 - Swahili Revised Union Version

23 Basi Yoabu akaondoka, akaenda Geshuri, akamleta Absalomu Yerusalemu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Hivyo, Yoabu aliondoka, akaenda Geshuri kumleta Absalomu mjini Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Hivyo, Yoabu aliondoka, akaenda Geshuri kumleta Absalomu mjini Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Hivyo, Yoabu aliondoka, akaenda Geshuri kumleta Absalomu mjini Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Ndipo Yoabu akaenda hadi Geshuri akamrudisha Absalomu Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Ndipo Yoabu akaenda hadi Geshuri akamrudisha Absalomu Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Basi Yoabu akaondoka, akaenda Geshuri, akamleta Absalomu Yerusalemu.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 14:23
4 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yoabu akaanguka kifudifudi hadi chini, akasujudu, akambariki mfalme, Yoabu akasema, Leo mimi mtumwa wako ninajua ya kwamba nimepata neema machoni pako, bwana wangu mfalme, kwa kuwa mfalme amemfanyia mtumishi wake haja yake.


na wa pili wake Danieli, wa Abigaili mkewe Nabali wa Karmeli; na wa tatu Absalomu, mwana wa Maaka binti Talmai, mfalme wa Geshuri,


Yairi, mwana wa Manase, alitwaa nchi yote ya Argobu, hata mpaka wa Wageshuri na Wamaaka; akaziita nchi hizo Hawoth-yairi, kwa jina lake mwenyewe, hata hivi leo, maana, hizo nchi za Bashani.)


Tufuate:

Matangazo


Matangazo