2 Samueli 14:1 - Swahili Revised Union Version1 Basi Yoabu, mwana wa Seruya, akatambua ya kuwa moyo wa mfalme unamwelekea Absalomu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Yoabu mwana wa Seruya, alitambua kwamba maelekeo ya moyo wa Daudi yalikuwa kwa Absalomu tu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Yoabu mwana wa Seruya, alitambua kwamba maelekeo ya moyo wa Daudi yalikuwa kwa Absalomu tu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Yoabu mwana wa Seruya, alitambua kwamba maelekeo ya moyo wa Daudi yalikuwa kwa Absalomu tu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Yoabu mwana wa Seruya akafahamu kuwa moyo wa mfalme ulikuwa na shauku ya kumwona Absalomu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Yoabu mwana wa Seruya akafahamu kuwa moyo wa mfalme ulikuwa na shauku ya kumwona Absalomu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Basi Yoabu, mwana wa Seruya, akatambua ya kuwa moyo wa mfalme unamwelekea Absalomu. Tazama sura |