Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 13:35 - Swahili Revised Union Version

35 Ndipo Yonadabu akamwambia mfalme, Tazama, wana wa mfalme wamekuja; kama mimi mtumishi wako nilivyosema, ndivyo ilivyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Yonadabu akamwambia Daudi, “Tazama mfalme, wanao wanakuja kama nilivyokuambia mimi mtumishi wako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Yonadabu akamwambia Daudi, “Tazama mfalme, wanao wanakuja kama nilivyokuambia mimi mtumishi wako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Yonadabu akamwambia Daudi, “Tazama mfalme, wanao wanakuja kama nilivyokuambia mimi mtumishi wako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Yonadabu akamwambia mfalme, “Tazama, wana wa mfalme wako hapa; imekuwa kama vile mtumishi wako alivyosema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Yonadabu akamwambia mfalme, “Tazama, wana wa mfalme wako hapa; imekuwa kama vile mtumishi wako alivyosema.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

35 Ndipo Yonadabu akamwambia mfalme, Tazama, wana wa mfalme wamekuja; kama mimi mtumishi wako nilivyosema, ndivyo ilivyo.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 13:35
2 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Absalomu akakimbia. Na kijana yule aliyekuwa mlinzi akainua macho yake, akaona, na tazama, kuna watu wengi wanakuja kwa njia ya upande wa kilima nyuma yake.


Ikawa alipokwisha kusema, tazama, wana wa mfalme walikuja, nao wakapaza sauti zao wakalia; mfalme naye akalia, na watumishi wake wote, kilio kikubwa mno.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo