Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 13:33 - Swahili Revised Union Version

33 Basi sasa bwana wangu mfalme asilitie neno hili moyoni, kudhani ya kwamba wana wote wa mfalme wamekufa maana ni Amnoni peke yake aliyekufa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Hivyo, bwana wangu, usifikiri moyoni mwako kwamba watoto wako wote wamekufa. Ni Amnoni pekee ndiye aliyeuawa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Hivyo, bwana wangu, usifikiri moyoni mwako kwamba watoto wako wote wamekufa. Ni Amnoni pekee ndiye aliyeuawa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Hivyo, bwana wangu, usifikiri moyoni mwako kwamba watoto wako wote wamekufa. Ni Amnoni pekee ndiye aliyeuawa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Mfalme bwana wangu asisumbuliwe na taarifa kwamba wamewaua wana wote wa mfalme. Ni Amnoni peke yake aliyekufa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Mfalme bwana wangu asisumbuliwe na taarifa kwamba wamewaua wana wote wa mfalme. Ni Amnoni peke yake aliyekufa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Basi sasa bwana wangu mfalme asilitie neno hili moyoni, kudhani ya kwamba wana wote wa mfalme wamekufa maana ni Amnoni peke yake aliyekufa.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 13:33
2 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Absalomu akakimbia. Na kijana yule aliyekuwa mlinzi akainua macho yake, akaona, na tazama, kuna watu wengi wanakuja kwa njia ya upande wa kilima nyuma yake.


Akamwambia mfalme, Bwana wangu asinihesabie uovu, wala usiyakumbuke yale niliyoyatenda mimi mtumishi wako kwa upotovu siku ile alipotoka Yerusalemu bwana wangu mfalme, hata mfalme ayatie moyoni mwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo