Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 13:27 - Swahili Revised Union Version

27 Mfalme akamwambia, Kwa nini aende nawe? Lakini Absalomu akamsihi sana, naye akamwacha Amnoni na wana wote wa mfalme waende naye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Lakini Absalomu alizidi kumsihi, na mwishowe mfalme akamruhusu Amnoni na wanawe wengine waende kwenye sherehe hiyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Lakini Absalomu alizidi kumsihi, na mwishowe mfalme akamruhusu Amnoni na wanawe wengine waende kwenye sherehe hiyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Lakini Absalomu alizidi kumsihi, na mwishowe mfalme akamruhusu Amnoni na wanawe wengine waende kwenye sherehe hiyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Lakini Absalomu alimsihi, kwa hiyo mfalme akamtuma Amnoni pamoja na wana wengine wa mfalme waliobaki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Lakini Absalomu alimsihi, kwa hiyo mfalme akamtuma Amnoni pamoja na wana wengine wa mfalme waliobaki.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 Mfalme akamwambia, Kwa nini aende nawe? Lakini Absalomu akamsihi sana, naye akamwacha Amnoni na wana wote wa mfalme waende naye.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 13:27
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo akasema Absalomu, Kama huji, nakusihi, mwache ndugu yangu Amnoni aende nasi.


Kisha Absalomu akawaamuru watumishi wake, akasema, Angalieni basi, moyo wake Amnoni utakapofurahiwa kwa mvinyo; nami nitakapowaambia, Mpigeni Amnoni, kisha mwueni, msiogope; si mimi niliyewaamuru? Iweni hodari, na wenye ujasiri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo