Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 13:21 - Swahili Revised Union Version

21 Na mfalme Daudi alipoyasikia maneno hayo yote, alikasirika sana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Mfalme Daudi aliposikia jambo hilo alikasirika sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Mfalme Daudi aliposikia jambo hilo alikasirika sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Mfalme Daudi aliposikia jambo hilo alikasirika sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Mfalme Daudi aliposikia mambo haya yote, akakasirika sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Mfalme Daudi aliposikia mambo haya yote, akakasirika sana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Na mfalme Daudi alipoyasikia maneno hayo yote, alikasirika sana.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 13:21
10 Marejeleo ya Msalaba  

Wanawe Yakobo waliposikia hayo, wakaja kutoka malishoni; nao wakasikitika sana, wakakasirika mno, kwa sababu amefanya upumbavu katika Israeli kwa kulala na binti Yakobo, jambo lisilostahili kutendeka.


Ikawa Israeli alipokuwa akikaa katika nchi ile, Reubeni akaenda akalala na Bilha, suria wa babaye; Israeli akasikia habari. Basi hao wana wa Yakobo walikuwa kumi na wawili.


Basi, sasa upanga hautaondoka nyumbani mwako, kwa sababu umenidharau, ukamtwaa mkewe Uria, Mhiti, kuwa mke wako.


Ndipo hasira ya Daudi ikawaka sana juu ya mtu yule; akamwambia Nathani, Aishivyo BWANA, mtu huyo aliyetenda jambo hili, hakika yake astahili kufa;


Huyo Absalomu nduguye akamwambia, je! Amekuwa nawe Amnoni nduguyo? Ila sasa tulia, dada; ni nduguyo; usilitie moyoni jambo hili. Basi Tamari akakaa hali ya ukiwa nyumbani mwa nduguye Absalomu.


Ila Absalomu hakusema na Amnoni wala kwa heri wala kwa shari; kwa maana Absalomu alimchukia Amnoni kwa kumlazimisha dada yake Tamari.


Kila asubuhi nitawaangamiza Waovu wote nchini. Nikiwatenga wote watendao uovu Na mji wa BWANA.


Kwa nini basi mnaipiga teke dhabihu yangu na sadaka yangu nilizoziamuru katika maskani yangu; ukawaheshimu wanao kuliko mimi, mpate kujinenepesha kwa sadaka zote za watu wangu Israeli zilizo njema?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo