Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 13:17 - Swahili Revised Union Version

17 Ndipo akamwita mtumishi wake aliyemtumikia, akasema, Mtoe sasa mwanamke huyu kwangu, ukafunge mlango nyuma yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Akamwita kijana wake aliyemtumikia, akamwambia, “Mtoe mwanamke huyu mbele yangu. Na mlango uufunge kwa komeo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Akamwita kijana wake aliyemtumikia, akamwambia, “Mtoe mwanamke huyu mbele yangu. Na mlango uufunge kwa komeo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Akamwita kijana wake aliyemtumikia, akamwambia, “Mtoe mwanamke huyu mbele yangu. Na mlango uufunge kwa komeo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Akamwita mtumishi wake mahsusi na kumwambia, “Mtoe huyu mwanamke hapa na ufunge mlango nyuma yake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Akamwita mtumishi wake mahsusi na kumwambia, “Mtoe huyu mwanamke hapa na ufunge mlango nyuma yake.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Ndipo akamwita mtumishi wake aliyemtumikia, akasema, Mtoe sasa mwanamke huyu kwangu, ukafunge mlango nyuma yake.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 13:17
2 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akamwambia, Sivyo, kwa kuwa mabaya haya ya kunifukuza ni makuu kuliko yale uliyonitendea. Lakini alikataa kumsikiliza.


Naye alikuwa amevaa kanzu ndefu; kwa kuwa kwa nguo hizo huvikwa binti za mfalme waliokuwa wanawali. Ndipo mtumishi wake akamtoa nje, akafunga mlango nyuma yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo