Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 13:11 - Swahili Revised Union Version

11 Naye alipokwisha kuileta karibu naye, ili ale, Amnoni akamkamata, akamwambia, Njoo ulale nami, dada yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Hapo, alipokuwa anampatia mikate hiyo, Amnoni alimkamata na kumwambia, “Njoo ulale nami.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Hapo, alipokuwa anampatia mikate hiyo, Amnoni alimkamata na kumwambia, “Njoo ulale nami.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Hapo, alipokuwa anampatia mikate hiyo, Amnoni alimkamata na kumwambia, “Njoo ulale nami.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Lakini alipompelekea ili ale, akamkamata kwa nguvu na kumwambia, “Njoo ulale nami, dada yangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Lakini alipompelekea ili ale, akamkamata kwa nguvu na kumwambia, “Njoo ulale nami, dada yangu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Naye alipokwisha kuileta karibu naye, ili ale, Amnoni akamkamata, akamwambia, Njoo ulale nami, dada yangu.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 13:11
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa baada ya mambo hayo, mke wa bwana wake akamtamani Yusufu, akamwambia, Lala nami.


Amnoni akamwambia Tamari, Kilete chakula chumbani, nipate kula mkononi mwako. Basi Tamari akaitwaa mikate aliyoiandaa, akamletea Amnoni nduguye mle chumbani.


Na mtu mmoja amefanya chukizo pamoja na mke wa jirani yake; na mtu mwingine amemharibu mke wa mwanawe kwa uasherati; na mtu mwingine ndani yako amemfanyia nguvu dada yake, binti ya babaye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo