Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 12:2 - Swahili Revised Union Version

2 Yule tajiri alikuwa na kondoo na ng'ombe wengi sana;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Yule tajiri alikuwa na kondoo wengi na ng'ombe wengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Yule tajiri alikuwa na kondoo wengi na ng'ombe wengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Yule tajiri alikuwa na kondoo wengi na ng'ombe wengi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Yule mtu tajiri alikuwa na idadi kubwa sana ya kondoo na ng’ombe,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Yule mtu tajiri alikuwa na idadi kubwa sana ya kondoo na ng’ombe,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Yule tajiri alikuwa na kondoo na ng'ombe wengi sana;

Tazama sura Nakili




2 Samueli 12:2
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo BWANA akamtuma Nathani aende kwa Daudi. Naye akamwendea, akamwambia, Palikuwa na watu wawili katika mji mmoja; mmoja wao alikuwa tajiri, wa pili maskini.


bali yule maskini hakuwa na kitu, ila mwana-kondoo mmoja, mdogo, ambaye amemnunua na kumlea; naye akakua pamoja naye, na pamoja na wanawe; hula sehemu ya posho lake, na kukinywea kikombe chake, na kulala kifuani mwake, akawa kwake kama binti.


nami nikakupa nyumba ya bwana wako, na wake za bwana wako kifuani mwako; nikakupa nyumba ya Israeli na ya Yuda; na kama hayo yangalikuwa machache, ningalikuongezea mambo mengine mengi.


Basi mfalme akatoka na watu wa nyumbani mwake wote wakafuatana naye. Mfalme akaacha wanawake kumi, masuria, ili kuitunza nyumba.


Mali yake nayo ilikuwa ni kondoo elfu saba, na ngamia elfu tatu, na jozi za ng'ombe mia tano, na punda wake mia tano, na watumishi wengi sana; basi hivi mtu huyo alikuwa ni mkuu sana kuliko watu wote wa upande wa mashariki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo