Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 11:20 - Swahili Revised Union Version

20 kisha, ikiwa hasira ya mfalme itawaka, akakuambia, Kwa nini mliukaribia mji namna ile ili kuupiga? Je! Hamkujua ya kuwa watapiga mishale toka ukutani?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 akikasirika na kukuuliza, ‘Kwa nini mlikwenda karibu na mji mlipokuwa mnapigana? Hamkujua kwamba wangewapiga mishale kutoka kwenye kuta za mji wao?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 akikasirika na kukuuliza, ‘Kwa nini mlikwenda karibu na mji mlipokuwa mnapigana? Hamkujua kwamba wangewapiga mishale kutoka kwenye kuta za mji wao?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 akikasirika na kukuuliza, ‘Kwa nini mlikwenda karibu na mji mlipokuwa mnapigana? Hamkujua kwamba wangewapiga mishale kutoka kwenye kuta za mji wao?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 hasira ya mfalme yaweza kuwaka, naye aweza kukuuliza, ‘Kwa nini mlisogea karibu hivyo na mji kupigana? Hamkujua kuwa wangeweza kuwapiga mishale kutoka ukutani?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 hasira ya mfalme yaweza kuwaka, naye aweza kukuuliza, ‘Kwa nini mlisogea karibu hivyo na mji kupigana? Hamkujua kuwa wangeweza kuwapiga mishale kutoka ukutani?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 kisha, ikiwa hasira ya mfalme itawaka, akakuambia, Kwa nini mliukaribia mji namna ile ili kuupiga? Je! Hamkujua ya kuwa watapiga mishale toka ukutani?

Tazama sura Nakili




2 Samueli 11:20
2 Marejeleo ya Msalaba  

akamwagiza yule mjumbe, akisema, Ukiisha kumpa mfalme habari zote za vita,


Ni nani aliyempiga Ahimeleki, mwana wa Yeru-beshethi? Je! Si mwanamke aliyemtupia jiwe la kusagia la juu kutoka ukutani? Hata akafa huko Thebesi? Kwa nini mliukaribia ukuta namna ile? Ndipo utakaposema, Mtumishi wako Uria, Mhiti, amekufa naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo