Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 11:14 - Swahili Revised Union Version

14 Hata ikawa asubuhi, Daudi akamwandikia Yoabu barua, akaituma kwa mkono wa Uria.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Asubuhi yake, Daudi alimwandikia Yoabu barua akampa Uria aipeleke kwa Yoabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Asubuhi yake, Daudi alimwandikia Yoabu barua akampa Uria aipeleke kwa Yoabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Asubuhi yake, Daudi alimwandikia Yoabu barua akampa Uria aipeleke kwa Yoabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Kesho yake asubuhi, Daudi akamwandikia Yoabu barua, akamtuma Uria kuipeleka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Asubuhi yake Daudi akamwandikia Yoabu barua, akamtuma Uria kuipeleka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Hata ikawa asubuhi, Daudi akamwandikia Yoabu barua, akaituma kwa mkono wa Uria.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 11:14
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa nini umelidharau neno la BWANA, na kufanya yaliyo mabaya machoni pake? Umempiga Uria, Mhiti, kwa upanga, nawe umemtwaa mkewe awe mke wako, nawe umemwua huyo kwa upanga wa Waamoni.


Umzuie mtumishi wako asitende mambo ya kiburi, Yasinitawale mimi. Ndipo nitakapokuwa kamili, Nami nitakuwa safi, sina kosa lililo kubwa.


Ulimi wako watunga madhara, Kama wembe mkali, Ewe mwenye hila.


Hakika binadamu ni ubatili, Na wenye cheo ni uongo, Katika mizani huinuka; Wote pamoja ni hafifu kuliko ubatili.


Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo