Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Petro 1:2 - Swahili Revised Union Version

2 Neema na iwe kwenu na amani iongezwe katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Nawatakieni neema na amani tele katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Nawatakieni neema na amani tele katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Nawatakieni neema na amani tele katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Neema na amani ziwe kwenu kwa wingi katika kumjua Mungu na Isa Bwana wetu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Neema na amani iwe kwenu kwa wingi katika kumjua Mwenyezi Mungu na Isa Bwana wetu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Neema na iwe kwenu na amani iongezwe katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.

Tazama sura Nakili




2 Petro 1:2
18 Marejeleo ya Msalaba  

Ataona mazao ya taabu ya nafsi yake, na kuridhika. Kwa maarifa yake mtumishi wangu mwenye haki Atawafanya wengi kuwa wenye haki; Naye atayachukua maovu yao.


Mfalme Nebukadneza, kwa watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, wanaokaa katika dunia yote; Amani iongezeke kwenu.


Ndipo mfalme Dario akawaandikia watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, waliokaa juu ya uso wa dunia; Amani na iongezeke kwenu.


Akasema, Nimekabidhiwa vyote na Baba yangu, wala hakuna amjuaye Mwana ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba ila Mwana, na yeyote ambaye Mwana apenda kumfunulia.


Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.


kwa wote walioko Rumi, wapendwao na Mungu, walioitwa kuwa watakatifu. Neema na iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwana Yesu Kristo.


Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itang'aa toka gizani, ndiye aliyeng'aa mioyoni mwetu, atupe nuru ya elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo.


Naam, zaidi ya hayo, nayahesabu mambo yote kuwa hasara kwa ajili ya uzuri usio na kiasi wa kumjua Kristo Yesu, Bwana wangu; ambaye kwa ajili yake nimepata hasara ya mambo yote nikiyahesabu kuwa kama mavi ili nipate Kristo;


kama vile Mungu Baba alivyotangulia kuwajua katika kutakaswa na Roho, hata mkapata kutii na kunyunyiziwa damu ya Yesu Kristo. Neema na amani na ziongezwe kwenu.


Kwa kuwa uweza wake wa Uungu umetukirimia vitu vyote vipasavyo uzima na utauwa, kwa kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe.


Naam, na kwa sababu iyo hiyo jitahidini sana ili katika imani yenu mtie na wema, na katika wema wenu maarifa,


Maana mambo hayo yakiwa kwenu na kujaa tele, yawafanya ninyi kuwa si wavivu wala si watu wasio na matunda, kwa kumjua Bwana wetu Yesu Kristo.


Kwa maana wale waliokwisha kuyakimbia machafu ya dunia kwa kumjua Bwana na Mwokozi Yesu Kristo, kama wakinaswa tena na kushindwa, hali yao ya mwisho imekuwa mbaya kuliko ile ya kwanza.


Lakini, kueni katika neema, na katika kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo. Utukufu una yeye sasa na hata milele.


Mwongezewe rehema na amani na upendano.


Yohana, kwa yale makanisa saba yaliyoko Asia; Neema na iwe kwenu na amani, zitokazo kwake yeye aliyeko na aliyekuwako na atakayekuja; na zitokazo kwa roho saba walioko mbele ya kiti chake cha enzi;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo