1 Yohana 5:11 - Swahili Revised Union Version11 Na huu ndio ushuhuda, ya kwamba Mungu alitupa uzima wa milele; na uzima huu umo katika Mwanawe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Na, ushahidi wenyewe ndio huu: Mungu alitupatia uhai wa milele, na uhai huo uko kwa Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Na, ushahidi wenyewe ndio huu: Mungu alitupatia uhai wa milele, na uhai huo uko kwa Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Na, ushahidi wenyewe ndio huu: Mungu alitupatia uhai wa milele, na uhai huo uko kwa Bwana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Huu ndio ushuhuda: kwamba Mungu ametupatia uzima wa milele, nao huo uzima umo katika Mwanawe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Huu ndio ushuhuda: kwamba Mungu ametupa uzima wa milele, nao huo uzima umo katika Mwanawe. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Na huu ndio ushuhuda, ya kwamba Mungu alitupa uzima wa milele; na uzima huu umo katika Mwanawe. Tazama sura |