Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Yohana 4:19 - Swahili Revised Union Version

19 Sisi tunapenda kwa maana yeye alitupenda sisi kwanza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Sisi tuna upendo kwa sababu Mungu alitupenda kwanza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Sisi tuna upendo kwa sababu Mungu alitupenda kwanza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Sisi tuna upendo kwa sababu Mungu alitupenda kwanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Twampenda yeye kwa sababu yeye alitupenda kwanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Twampenda yeye kwa sababu yeye alitupenda kwanza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Sisi tunapenda kwa maana yeye alitupenda sisi kwanza.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 4:19
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa ajili ya hayo nakuambia, Amesamehewa dhambi zake ambazo ni nyingi, kwa kuwa amependa sana; lakini asamehewaye kidogo, huyo hupenda kidogo.


Si ninyi mlionichagua mimi, bali ni mimi niliyewachagua ninyi; nami nikawaweka mwende mkazae matunda; na matunda yenu yapate kukaa; ili kwamba lolote mmwombalo Baba kwa jina langu awapeni.


Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.


Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,


Hili ndilo pendo, si kwamba sisi tulimpenda Mungu, bali kwamba yeye alitupenda sisi, akamtuma Mwanawe kuwa kipatanisho kwa dhambi zetu.


Mtu akisema, Nampenda Mungu, naye anamchukia ndugu yake, ni mwongo; kwa maana asiyempenda ndugu yake ambaye amemwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hakumwona.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo