Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Yohana 4:11 - Swahili Revised Union Version

11 Wapenzi ikiwa Mungu alitupenda sisi hivi, imetupasa na sisi kupendana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Wapenzi wangu, ikiwa Mungu alitupenda hivyo, basi, nasi tunapaswa kupendana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Wapenzi wangu, ikiwa Mungu alitupenda hivyo, basi, nasi tunapaswa kupendana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Wapenzi wangu, ikiwa Mungu alitupenda hivyo, basi, nasi tunapaswa kupendana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Wapendwa, kama Mungu alivyotupenda sisi, imetupasa na sisi kupendana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Marafiki wapendwa, kama Mungu alivyotupenda sisi, imetupasa na sisi kupendana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Wapenzi ikiwa Mungu alitupenda sisi hivi, imetupasa na sisi kupendana.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 4:11
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Ni huyo aliyemwonea huruma. Yesu akamwambia, Nenda zako, nawe ukafanye vivyo hivyo.


Amri mpya nawapa, Mpendane. Kama vile nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo hivyo.


Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na matusi yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya;


mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; kama Bwana alivyowasamehe ninyi, vivyo na ninyi.


Wapenzi, siwaandikii amri mpya, ila amri ya zamani mliyokuwa nayo tangu mwanzo. Na hiyo amri ya zamani ni neno lile mlilolisikia.


Maana, hii ndiyo habari mliyoisikia tangu mwanzo, kwamba tupendane sisi kwa sisi;


Na hii ndiyo amri yake, kwamba tuliamini jina la Mwana wake Yesu Kristo, na kupendana sisi kwa sisi, kama alivyotupa amri.


Wapenzi, na mpendane; kwa kuwa pendo latoka kwa Mungu, na kila apendaye amezaliwa na Mungu, naye anamjua Mungu.


Na sasa mama, nakuomba, si kwamba nakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo, kwamba tupendane.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo