1 Yohana 3:22 - Swahili Revised Union Version22 na lolote tuombalo, tunalipokea kwake, kwa kuwa tunazishika amri zake, na kuyatenda yapendezayo machoni pake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 na kupokea kwake chochote tunachoomba, maana tunazitii amri zake na kufanya yale yanayompendeza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 na kupokea kwake chochote tunachoomba, maana tunazitii amri zake na kufanya yale yanayompendeza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 na kupokea kwake chochote tunachoomba, maana tunazitii amri zake na kufanya yale yanayompendeza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 lolote tuombalo, twalipokea kutoka kwake, kwa sababu tumezitii amri zake na kutenda yale yanayompendeza. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 lolote tuombalo, twalipokea kutoka kwake, kwa sababu tumezitii amri zake na kutenda yale yanayompendeza. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI22 na lolote tuombalo, tunalipokea kwake, kwa kuwa tunazishika amri zake, na kuyatenda yapendezayo machoni pake. Tazama sura |