Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Yohana 3:11 - Swahili Revised Union Version

11 Maana, hii ndiyo habari mliyoisikia tangu mwanzo, kwamba tupendane sisi kwa sisi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Na, ujumbe mliousikia tangu mwanzo ndio huu: Tunapaswa kupendana!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Na, ujumbe mliousikia tangu mwanzo ndio huu: Tunapaswa kupendana!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Na, ujumbe mliousikia tangu mwanzo ndio huu: Tunapaswa kupendana!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Hili ndilo neno mlilolisikia tangu mwanzo: Kwamba imetupasa tupendane sisi kwa sisi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Hili ndilo neno mlilolisikia tangu mwanzo: Kwamba imetupasa tupendane sisi kwa sisi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Maana, hii ndiyo habari mliyoisikia tangu mwanzo, kwamba tupendane sisi kwa sisi;

Tazama sura Nakili




1 Yohana 3:11
16 Marejeleo ya Msalaba  

aliondoka chakulani; akaweka kando mavazi yake, akatwaa kitambaa, akajifunga kiunoni.


Amri yangu ndiyo hii, Mpendane, kama nilivyowapenda ninyi.


Mchukuliane mizigo na hivyo kuitimiza sheria ya Kristo.


mkaende katika upendo, kama Kristo naye alivyowapenda ninyi tena akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu kwa Mungu, kuwa harufu ya manukato.


Kuhusu upendano, hamna haja niwaandikie; maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana.


Lakini lengo la agizo hili ni kuleta upendo utokao katika moyo safi na dhamiri njema, na imani isiyo na unafiki.


Mkiisha kujitakasa roho zenu kwa kuitii kweli, hata kuufikia upendano wa ndugu usio na unafiki, basi jitahidini kupendana kwa moyo safi.


Neno la mwisho ni hili; muwe na nia moja, wenye kuhurumiana, wenye kupendana kama ndugu, wasikitikivu, wanyenyekevu;


Zaidi ya yote iweni na bidii kubwa katika kupendana; kwa sababu upendano husitiri wingi wa dhambi.


Na hii ndiyo habari tuliyoisikia kwake, na kuihubiri kwenu, ya kwamba Mungu ni nuru, wala giza lolote hamna ndani yake.


Wapenzi ikiwa Mungu alitupenda sisi hivi, imetupasa na sisi kupendana.


Na amri hii tumepewa na yeye, ya kwamba yeye ampendaye Mungu, ampende na ndugu yake.


Wapenzi, na mpendane; kwa kuwa pendo latoka kwa Mungu, na kila apendaye amezaliwa na Mungu, naye anamjua Mungu.


Na sasa mama, nakuomba, si kwamba nakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo, kwamba tupendane.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo