Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Yohana 2:6 - Swahili Revised Union Version

6 Yeye asemaye ya kuwa anakaa ndani yake, imempasa kuenenda mwenyewe vile vile kama yeye alivyoenenda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Mtu yeyote anayesema kwamba ameungana na Mungu, anapaswa kuishi kama alivyoishi Yesu Kristo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Mtu yeyote anayesema kwamba ameungana na Mungu, anapaswa kuishi kama alivyoishi Yesu Kristo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 mtu yeyote anayesema kwamba ameungana na Mungu, anapaswa kuishi kama alivyoishi Yesu Kristo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Yeyote anayesema anakaa ndani yake hana budi kuenenda kama Isa alivyoenenda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Yeyote anayesema anakaa ndani yake hana budi kuenenda kama Isa alivyoenenda.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Yeye asemaye ya kuwa anakaa ndani yake, imempasa kuenenda mwenyewe vile vile kama yeye alivyoenenda.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 2:6
14 Marejeleo ya Msalaba  

Haki itakwenda mbele zake, Na kuzitayarishia hatua zake mapito.


Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;


Kwa kuwa nimewapa kielelezo; ili kama mimi nilivyowatendea, nanyi mtende vivyo.


Mkizishika amri zangu, mtakaa katika pendo langu; kama vile mimi nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake.


Mniige mimi kama mimi ninavyomwiga Kristo.


mkaende katika upendo, kama Kristo naye alivyowapenda ninyi tena akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu kwa Mungu, kuwa harufu ya manukato.


Kwa sababu ndio mlioitiwa; maana Kristo naye aliteswa kwa ajili yenu, akawaachia kielelezo, mfuate nyayo zake.


Na sasa, watoto wadogo, kaeni ndani yake, ili kusudi, atakapofunuliwa, muwe na ujasiri, wala msiaibike mbele zake katika kuja kwake.


Yeye asemaye, Nimemjua, wala hazishiki amri zake, ni mwongo, wala kweli haimo ndani yake.


Naye azishikaye amri zake hukaa ndani yake yeye naye ndani yake. Na katika hili tunajua ya kuwa anakaa ndani yetu, kwa huyo Roho aliyetupa.


Kila akaaye ndani yake hatendi dhambi; kila atendaye dhambi hakumwona yeye, wala hakumtambua.


Katika hili pendo limekamilishwa kwetu, ili tuwe na ujasiri katika siku ya hukumu; kwa kuwa, kama yeye alivyo, ndivyo tulivyo na sisi ulimwenguni humu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo