1 Wathesalonike 2:3 - Swahili Revised Union Version3 Kwa maana maonyo yetu siyo ya ukosefu, wala ya uchafu, wala ya hila; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Jambo tunalosisitiza kwenu si jambo linalotegemea uongo au nia mbaya; wala hatupendi kumdanganya mtu yeyote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Jambo tunalosisitiza kwenu si jambo linalotegemea uongo au nia mbaya; wala hatupendi kumdanganya mtu yeyote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Jambo tunalosisitiza kwenu si jambo linalotegemea uongo au nia mbaya; wala hatupendi kumdanganya mtu yeyote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Kwa maana himizo letu halikutokana na hila wala nia mbaya au udanganyifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Kwa maana himizo letu halikutokana na hila wala nia mbaya au udanganyifu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Kwa maana maonyo yetu siyo ya ukosefu, wala ya uchafu, wala ya hila; Tazama sura |