Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 7:23 - Swahili Revised Union Version

23 Mlinunuliwa kwa thamani; msiwe watumwa wa wanadamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Nyote mmenunuliwa kwa bei; kwa hiyo msiwe tena watumwa wa watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Nyote mmenunuliwa kwa bei; kwa hiyo msiwe tena watumwa wa watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Nyote mmenunuliwa kwa bei; kwa hiyo msiwe tena watumwa wa watu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Mlinunuliwa kwa gharama; msiwe watumwa wa wanadamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Mlinunuliwa kwa gharama; msiwe watumwa wa wanadamu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Mlinunuliwa kwa thamani; msiwe watumwa wa wanadamu.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 7:23
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa hao ni watumishi wangu, niliowaleta watoke nchi ya Misri; wasiuzwe kama watumwa.


Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia huyu, na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu, na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali.


Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe.


maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni Mungu katika miili yenu.


Bali kwa ajili ya ndugu za uongo walioingizwa kwa siri; ambao waliingia kwa siri ili kuupeleleza uhuru wetu tulio nao katika Kristo Yesu, ili watutie utumwani;


ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafishia watu wake mwenyewe walio na bidii katika matendo mema.


Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; akauawa kimwili, lakini akahuishwa kiroho,


Nao waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili wewe kukitwaa hicho kitabu na kuifungua mihuri yake; kwa kuwa ulichinjwa, ukawa fidia kwa Mungu na kwa damu yako watu wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo