1 Wakorintho 7:19 - Swahili Revised Union Version19 Kutahiriwa si kitu, na kutotahiriwa si kitu bali kuzihifadhi amri za Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Maana kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; kilicho muhimu ni kuzishika amri za Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Maana kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; kilicho muhimu ni kuzishika amri za Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Maana kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; kilicho muhimu ni kuzishika amri za Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Kutahiriwa si kitu, na kutokutahiriwa si kitu. Lakini kuzitii amri za Mungu ndilo jambo muhimu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Kutahiriwa si kitu, na kutokutahiriwa si kitu. Lakini kuzitii amri za Mungu ndilo jambo muhimu. Tazama sura |