1 Wakorintho 7:10 - Swahili Revised Union Version10 Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Kwa wale waliooa ninayo amri, tena si yangu, ila ni ya Bwana: Mke asiachane na mumewe; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Kwa wale waliooa ninayo amri, tena si yangu, ila ni ya Bwana: Mke asiachane na mumewe; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Kwa wale waliooa ninayo amri, tena si yangu, ila ni ya Bwana: mke asiachane na mumewe; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Kwa wale waliooana nawapa amri (si mimi, ila ni Bwana Isa): Mke asitengane na mumewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Kwa wale waliooana nawapa amri (si mimi, ila ni Bwana Isa): Mke asitengane na mumewe. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe; Tazama sura |