Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 6:4 - Swahili Revised Union Version

4 Basi, mkiwa na mahali panapohukumiwa mambo ya maisha haya, mwawaweka kuwa waamuzi hao waliohesabiwa kuwa si kitu; katika kanisa?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mnapokuwa na mizozo juu ya mambo ya kawaida, je, mnawaita wawe mahakimu watu ambao hata hawalijali kanisa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mnapokuwa na mizozo juu ya mambo ya kawaida, je, mnawaita wawe mahakimu watu ambao hata hawalijali kanisa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Mnapokuwa na mizozo juu ya mambo ya kawaida, je, mnawaita wawe mahakimu watu ambao hata hawalijali kanisa?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Kwa hiyo kama kuna ugomvi miongoni mwenu kuhusu mambo kama haya, je, mnachagua watu ambao wanaonekana hata sio wa heshima katika kundi la waumini kuwa waamuzi kati yenu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Kwa hiyo kama kuna ugomvi miongoni mwenu kuhusu mambo kama haya, chagueni kuwa waamuzi, watu ambao wanaonekana hata sio wa heshima katika kundi la waumini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Basi, mkiwa na mahali panapohukumiwa mambo ya maisha haya, mwawaweka kuwa waamuzi hao waliohesabiwa kuwa si kitu; katika kanisa?

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 6:4
4 Marejeleo ya Msalaba  

Maana yanihusu nini kuwahukumu wale walio nje? Ninyi hamwahukumu hao walio ndani?


Hamjui ya kuwa mtawahukumu malaika, basi si zaidi sana mambo ya maisha haya?


Nasema hayo nipate kuwatahayarisha. Je! Ndivyo, kwamba kwenu hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima, awezaye kukata maneno ya ndugu zake?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo