Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 15:53 - Swahili Revised Union Version

53 Maana sharti huu uharibikao uvae kutoharibika, nao huu wa kufa uvae kutokufa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

53 Maana ni lazima kila kiharibikacho kijivalie hali ya kutoharibika, mwili uwezao kufa ujivalie hali ya kutokufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

53 Maana ni lazima kila kiharibikacho kijivalie hali ya kutoharibika, mwili uwezao kufa ujivalie hali ya kutokufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

53 Maana ni lazima kila kiharibikacho kijivalie hali ya kutoharibika, mwili uwezao kufa ujivalie hali ya kutokufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

53 Kwa maana mwili huu wa kuharibika lazima uvae kutokuharibika, nao huu wa kufa lazima uvae kutokufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

53 Kwa maana mwili huu wa kuharibika lazima uvae kutokuharibika, nao huu wa kufa lazima uvae kutokufa.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:53
7 Marejeleo ya Msalaba  

wakaubadili utukufu wa Mungu asiye na uharibifu kwa mfano wa sura ya binadamu aliye na uharibifu, na ya ndege, na ya wanyama, na ya vitambaavyo.


wale ambao kwa subira katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutoharibika, watapewa uzima wa milele;


Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo.


na mkavae utu mpya, ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli.


Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa; lakini tunajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa maana tutamwona kama alivyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo