1 Wakorintho 15:53 - Swahili Revised Union Version53 Maana sharti huu uharibikao uvae kutoharibika, nao huu wa kufa uvae kutokufa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema53 Maana ni lazima kila kiharibikacho kijivalie hali ya kutoharibika, mwili uwezao kufa ujivalie hali ya kutokufa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND53 Maana ni lazima kila kiharibikacho kijivalie hali ya kutoharibika, mwili uwezao kufa ujivalie hali ya kutokufa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza53 Maana ni lazima kila kiharibikacho kijivalie hali ya kutoharibika, mwili uwezao kufa ujivalie hali ya kutokufa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu53 Kwa maana mwili huu wa kuharibika lazima uvae kutokuharibika, nao huu wa kufa lazima uvae kutokufa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu53 Kwa maana mwili huu wa kuharibika lazima uvae kutokuharibika, nao huu wa kufa lazima uvae kutokufa. Tazama sura |