Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 14:9 - Swahili Revised Union Version

9 Vivyo hivyo na ninyi, msipotoa kwa ulimi neno lililo dhahiri, neno lile linenwalo litajulikanaje? Maana mtakuwa mkinena hewani tu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Hali kadhalika na nyinyi, kama ulimi wenu hausemi kitu chenye kueleweka, nani ataweza kufahamu mnayosema? Maneno yenu yatapotea hewani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Hali kadhalika na nyinyi, kama ulimi wenu hausemi kitu chenye kueleweka, nani ataweza kufahamu mnayosema? Maneno yenu yatapotea hewani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Hali kadhalika na nyinyi, kama ulimi wenu hausemi kitu chenye kueleweka, nani ataweza kufahamu mnayosema? Maneno yenu yatapotea hewani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Vivyo hivyo na ninyi, mkinena maneno yasiyoeleweka katika akili, mtu atajuaje mnalosema? Kwa maana mtakuwa mnasema hewani tu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Vivyo hivyo na ninyi, kama mkinena maneno yasiyoeleweka katika akili, mtu atajuaje mnalosema? Kwa maana mtakuwa mnasema hewani tu.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:9
2 Marejeleo ya Msalaba  

Hakika ziko sauti za namna nyingi duniani, wala hakuna moja isiyo na maana.


Hata mimi napiga mbio vivyo hivyo, si kama asitaye; napigana ngumi vivyo hivyo, si kama apigaye hewa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo