Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 12:25 - Swahili Revised Union Version

25 ili kusiwe na mgawanyiko katika mwili, bali viungo vitunzane kila kiungo na mwenziwe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 ili kusiweko na utengano katika mwili, bali viungo vyote vishughulikiane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 ili kusiweko na utengano katika mwili, bali viungo vyote vishughulikiane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 ili kusiweko na utengano katika mwili, bali viungo vyote vishughulikiane.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 ili pasiwe na mafarakano katika mwili, bali viungo vyote vihudumiane kwa usawa kila kimoja na mwenzake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 ili pasiwe na mafarakano katika mwili, bali viungo vyote vihudumiane kwa usawa kila kimoja na mwenzake.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 12:25
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana viungo vyetu vilivyo na uzuri havina uhitaji; bali Mungu ameuungamanisha mwili, na kukipa heshima zaidi kile kiungo kilichopungukiwa;


Na kiungo kimoja kikiumia, viungo vyote huumia nacho, na kiungo kimoja kikitukuzwa, viungo vyote hufurahi pamoja nacho.


kwa maana hata sasa ninyi ni watu wa tabia ya mwilini. Maana, ikiwa kwenu kuna husuda na fitina, je! Si watu wa tabia ya mwilini ninyi; tena mnaenenda kwa jinsi ya kibinadamu?


Hatimaye, ndugu, kwaherini; mtimilike, mfarijike, nieni mamoja, mkae katika amani; na Mungu wa upendo na amani atakuwa pamoja nanyi.


Basi, ijapokuwa niliwaandikia, sikuandika kwa ajili yake yeye aliyedhulumu, wala si kwa ajili yake yeye aliyedhulumiwa, bali ili bidii yenu kwa ajili yetu ipate kudhihirishwa kwenu mbele za Mungu.


Lakini ahimidiwe Mungu atiaye bidii ile ile kwa ajili yenu katika moyo wa Tito.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo