Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 12:15 - Swahili Revised Union Version

15 Mguu ukisema, Kwa kuwa mimi si mkono, mimi si wa mwili; je! Unakuwa si wa mwili kwa sababu hiyo?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Kama mguu ungejisemea: “Kwa kuwa mimi si mkono, basi mimi si mali ya mwili,” je, ungekoma kuwa sehemu ya mwili? La hasha!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Kama mguu ungejisemea: “Kwa kuwa mimi si mkono, basi mimi si mali ya mwili,” je, ungekoma kuwa sehemu ya mwili? La hasha!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Kama mguu ungejisemea: “Kwa kuwa mimi si mkono, basi mimi si mali ya mwili,” je, ungekoma kuwa sehemu ya mwili? La hasha!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Kama mguu ungesema, “Kwa kuwa mimi si mkono basi mimi si wa mwili,” hiyo isingefanya huo mguu usiwe sehemu ya mwili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Kama mguu ungesema, “Kwa kuwa mimi si mkono basi mimi si wa mwili,” hiyo isingefanya huo mguu usiwe sehemu ya mwili.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 12:15
4 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma kwa Amazia mfalme wa Yuda, akisema, Mbaruti uliokuwako Lebanoni ulituma kwa mwerezi uliokuwako Lebanoni, kusema, Umwoze mwanangu binti yako; kukapita hayawani aliyekuwako Lebanoni, akaukanyaga ule mbaruti.


Kwa maana mwili si kiungo kimoja, bali ni vingi.


Na sikio likisema, Kwa kuwa mimi si jicho, mimi si wa mwili; je! Linakuwa si la mwili kwa sababu hiyo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo