1 Wakorintho 11:4 - Swahili Revised Union Version4 Kila mwanamume, asalipo, au anapotoa unabii, naye amefunikwa kichwa, anaaibisha kichwa chake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Basi, kila mwanamume anayesali au anayetangaza ujumbe wa Mungu huku amefunika kichwa chake, huyo anamdharau Kristo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Basi, kila mwanamume anayesali au anayetangaza ujumbe wa Mungu huku amefunika kichwa chake, huyo anamdharau Kristo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Basi, kila mwanamume anayesali au anayetangaza ujumbe wa Mungu huku amefunika kichwa chake, huyo anamdharau Kristo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Kila mwanaume anayeomba au kutoa unabii akiwa amefunika kichwa chake, anakiaibisha kichwa chake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Kila mwanaume anayeomba au kutoa unabii akiwa amefunika kichwa chake, anakiaibisha kichwa chake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Kila mwanamume, asalipo, au anapotoa unabii, naye amefunikwa kichwa, anaaibisha kichwa chake. Tazama sura |