1 Wakorintho 10:18 - Swahili Revised Union Version18 Waangalieni hao Waisraeli walivyokuwa kwa jinsi ya mwili; wale wazilao dhabihu, je! Hawana shirika na madhabahu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Angalieni kwa mfano Wayahudi wenyewe: Wale wanaokula tambiko wanaungana na hiyo madhabahu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Angalieni kwa mfano Wayahudi wenyewe: Wale wanaokula tambiko wanaungana na hiyo madhabahu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Angalieni kwa mfano Wayahudi wenyewe: wale wanaokula tambiko wanaungana na hiyo madhabahu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Waangalieni watu wa Israeli: Je, wale wote walao dhabihu si ni wale watendao kazi madhabahuni? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Waangalieni watu wa Israeli: Je, wale wote walao dhabihu si ni wale watendao kazi madhabahuni? Tazama sura |