1 Wakorintho 1:5 - Swahili Revised Union Version5 kwa kuwa katika kila jambo mlitajirika katika yeye, katika maneno yote, na maarifa yote; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Maana, kwa kuungana na Kristo mmetajirishwa katika kila kitu. Mmejaliwa elimu yote na uwezo wote wa kuhubiri. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Maana, kwa kuungana na Kristo mmetajirishwa katika kila kitu. Mmejaliwa elimu yote na uwezo wote wa kuhubiri. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Maana, kwa kuungana na Kristo mmetajirishwa katika kila kitu. Mmejaliwa elimu yote na uwezo wote wa kuhubiri. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Kwa kuwa katika Al-Masihi mmetajirishwa kwa kila hali, katika kusema kwenu na katika maarifa yenu yote, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Kwa kuwa katika Al-Masihi mmetajirishwa kwa kila hali, katika kusema kwenu na katika maarifa yenu yote, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 kwa kuwa katika kila jambo mlitajirika katika yeye, katika maneno yote, na maarifa yote; Tazama sura |