Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 8:40 - Swahili Revised Union Version

40 ili wakuche wewe siku zote watakazoishi katika nchi uliyowapa baba zetu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 ili wakutii wakati wote wanapoishi katika nchi uliyowapa babu zetu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 ili wakutii wakati wote wanapoishi katika nchi uliyowapa babu zetu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 ili wakutii wakati wote wanapoishi katika nchi uliyowapa babu zetu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 ili wakuogope kwa wakati wote watakaoishi katika nchi uliyowapa baba zetu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 ili wakuogope kwa wakati wote watakaoishi katika nchi uliyowapa baba zetu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

40 ili wakuche wewe siku zote watakazoishi katika nchi uliyowapa baba zetu.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 8:40
18 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Usimnyoshee kijana mkono wako, wala usimtendee neno; kwa maana sasa ninajua ya kuwa unamcha Mungu, kwa kuwa hukunizuilia mwanao, mwanao wa pekee.


basi, usikie huko mbinguni, makao yako, ukasamehe, ukatende, ukampe kila mtu kwa kadiri ya njia zake; wewe ujuaye moyo wake; (maana wewe peke yako ndiwe uijuaye mioyo ya wanadamu wote);


Hata na mgeni naye, asiyekuwa mmoja wa watu wako Israeli, atakapokuja kutoka nchi iliyo mbali sana kwa ajili ya jina lako;


Atawabariki wamchao BWANA, Wadogo kwa wakubwa.


Lakini kwako kuna msamaha, Ili Wewe uogopwe.


Musa akawaambia watu, Msiogope, maana Mungu amekuja ili awajaribu, na utisho wake uwe mbele yenu, ili kwamba msifanye dhambi.


baada ya hayo wana wa Israeli watarejea, na kumtafuta BWANA, Mungu wao, na Daudi, mfalme wao; nao watamwendea BWANA na wema wake kwa kicho siku za mwisho.


mtu mtauwa, mchaji wa Mungu, yeye na nyumba yake yote, naye alikuwa akiwapa watu sadaka nyingi, na kumwomba Mungu daima.


Basi kanisa likapata raha kote katika Yudea na Galilaya na Samaria, likajengwa, likiendelea na kuongezeka katika kicho cha Bwana, na faraja ya Roho Mtakatifu.


Hizi ndizo amri na hukumu mtakazofuataa kuzifanya katika nchi aliyokupa BWANA, Mungu wa baba zako, uimiliki, siku zote mtakazoishi juu ya nchi.


Mche BWANA, Mungu wako; ndiye utakayemtumikia, na kuapa kwa jina lake.


upate kumcha BWANA, Mungu wako, kushika amri zake zote, na sheria zake, ninazokuamuru, wewe na mwanao, na mwana wa mwanao, siku zote za maisha yako; tena siku zako ziongezwe.


Basi kwa kuwa tunapokea ufalme usioweza kutetemeshwa, na muwe na neema, ambayo kwa hiyo tumtolee Mungu ibada ya kumpendeza, pamoja na unyenyekevu na kicho;


watu wote wa duniani wapate kujua mkono wa BWANA, ya kuwa ni mkono wenye uweza, na ili nanyi mpate kumcha BWANA, Mungu wenu, milele.


Ni nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote watakuja na kusujudu mbele zako; kwa kuwa matendo yako ya haki yamekwisha kufunuliwa.


Sauti ikatoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Msifuni Mungu wetu, enyi watumwa wake wote, ninyi mnaomcha, wadogo kwa wakubwa.


Mcheni BWANA tu, mkamtumikie kwa kweli kwa mioyo yenu yote; maana, kumbukeni jinsi alivyowatendea mambo makuu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo