Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 8:3 - Swahili Revised Union Version

3 Wazee wote wa Israeli wakaja, nao makuhani wakajitwika sanduku.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Baada ya wazee wote wa Israeli kuwasili, makuhani walibeba sanduku la agano.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Baada ya wazee wote wa Israeli kuwasili, makuhani walibeba sanduku la agano.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Baada ya wazee wote wa Israeli kuwasili, makuhani walibeba sanduku la agano.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Wazee wote wa Israeli walipofika, makuhani wakajitwika lile Sanduku,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Wazee wote wa Israeli walipofika, makuhani wakajitwika Sanduku la Agano,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Wazee wote wa Israeli wakaja, nao makuhani wakajitwika sanduku.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 8:3
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha mfalme Daudi akaambiwa ya kwamba, BWANA ameibariki nyumba ya Obed-edomu, na vitu vyote alivyo navyo kwa ajili ya sanduku la Mungu. Daudi akaenda, akalileta sanduku la Mungu, toka nyumba ya Obed-edomu mpaka mji wa Daudi, kwa shangwe.


Makuhani wakalileta sanduku la Agano la BWANA hadi mahali pake, katika chumba cha ndani cha ile nyumba, patakatifu pa patakatifu, naam, chini ya mbawa za makerubi.


Ndipo Daudi akasema, Haimpasi mtu awaye yote kulichukua sanduku la Mungu, isipokuwa Walawi peke yao; kwa kuwa hao ndio aliowachagua BWANA, ili walichukue sanduku la Mungu, na kumtumikia daima.


Na Haruni na wanawe watakapokwisha kupafunika mahali patakatifu, na vyombo vyote vya mahali patakatifu, hapo watakapong'oa kambi; baadaye, wana wa Kohathi watakuja kuvichukua; lakini wasiviguse vile vitu vitakatifu, wasife. Vyombo vile ni mzigo wa wana wa Kohathi katika hema ya kukutania.


Lakini hakuwapa wana wa Kohathi; maana, utumishi wa vile vitu vitakatifu ulikuwa ni wao; nao wakavichukua mabegani mwao.


Musa akaiandika torati hii, akawapa makuhani, wana wa Lawi, waliolichukua sanduku la Agano la BWANA, na wazee wote wa Israeli.


wakawaamuru watu wote wakisema, Mtakapoliona sanduku la Agano la BWANA, Mungu wenu, na makuhani Walawi wakilichukua, ndipo mtakapoondoka hapa mlipo na kulifuata.


Kisha Yoshua akawaambia makuhani, akasema, Liinueni sanduku la Agano, mkavuke mbele ya hao watu. Wakaliinua sanduku la Agano, wakatangulia mbele ya watu.


Kisha Yoshua akapanga mawe kumi na mawili katikati ya Yordani, mahali pale miguu ya hao makuhani waliolichukua hilo sanduku la Agano iliposimama; nayo yapo pale pale hata hivi leo.


Bali Yoshua, mwana wa Nuni, akawaita makuhani, akawaambia, Lichukueni sanduku la Agano, tena makuhani saba na wachukue mabaragumu saba za pembe za kondoo dume watangulie mbele ya sanduku la BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo